Muhimu-Biashara

Tayukwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
2,182
Reaction score
4,422
Waungwana nahitaji msaada wenu wa kupata eneo /Frem kwa ajili ya biashara ya saluni ya kiume,
Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo.
NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo hilo visiwe na sifa ya kumfanya mtu achukie kuanza harakati za kujikomboa kiuchumi..
Ahsanteni natarajia ushirikiano mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…