Wewe hiyo ni taasisi ya serikali so tegemea viwango vya mshahara sawa na mhasibu wa Amana na Mwananyamala ambao wako chini za manispaa zao na hulipwa sawa na mhasibu aliyekuwepo pale halmashauri ya kinondoni na ilala ambao kama ana degree basi ni TGS D au E kutokana na expetience yake.
Weka namba waliyotumia kukupigia make na mimi niliomba hiyyo nafasi, siku wanawaita kwenye interview sim yangu sikuwa nayo nkkakuta missedcall ya namba flani mpaka sasa hivi nikiipiga haipiti
Maslahi ni kweli muhimu ila ingekua muhimu kama unavyo taka kuiweka basi ungefuatilia kabla huja apply. Kama maslahi ni muhimu sana imekuaje ukasumbuka kuapplly kabla ya kujua malipo?