Naanza kuamini kua, upo uhusiano wa karibu sana wa UJINGA na kuichagua ccm, maeneo mengi yenye umasiki wa kutisha pamoja na ujinga ndiko huko huko ccm hua wanapata ushindi wa kishindo! Naelewa pia kua kwanini magamba huchukia sana wanapoona CDM inatoa elimu ya uraia kwa wananchi, mleta uzi, pamoja na kukuonea huruma wewe na wakazi wenzio, nenda zaidi, waelimishe hao wana Mufindi kua, "Kuna uhusiano mkubwa na wa karibu kati ya kura yao wakati wa uchaguzi na maisha wanayoishi"