Mtwara kupandisha bendera yetu

Hao wananchi hawajui hata gesi inafananaje na wala hawajui utaratibu wake ulivyo. Wanadanganywa tu na wanasiasa. Waambie gesi sio kama maji ya bomba ni lazima isafirishwe ipelekwe kwenye mitambo. Sana sana wanatakiwa wadai manufaa yatokanayo na hiyo gesi yaani mapato. Watoe mapendekezo yao yatasikilizwa tu sio hato ys bendera wanataka kuwa kama Pwani huko Kenya?
 
Kwann hawakuukataa umeme wa mtera na kidatu wakati unavutwa na kupelekwa kwao.?au ndo ubinafsi huo???Kilimanjaro nao wakisema hela ya mlima Kilimanjaro isiende serikali kuu,dodoma na singida si watakufa njaa?

Siku zote wamekuwa wakitumia wa majenereta,haukuwa wa grid ya Taifa mkuu..
 
Mfumo wa majimbo unahusika

We acha tu dada.. Mi mwenyewe wa mikoa ya kaskazini,ila nimeishi sana Mtwara.
Fikiria kuna wilaya inaitwa Tandahimba.Unaambiwa imekuwa ikishindana manispaa za Dar kwa kuiingizia serikali mapato...! Inakuwa kwenye 3 bora karibu kila mwaka..
Ni kwa ajili ya kilimo cha Korosho. Imagine misimu miwili iliyopita iliingiza 54 bn.. Lakini maisha wanayoishi wenyeji sasa.. Au miundombinu yake sasa.. Acheni tu,ila hii nchi inatakiwa kuwa reformed au sijui nitumie neno gani labda..
 
kwann hawakuukataa umeme wa mtera na kidatu wakati unavutwa na kupelekwa kwao.?au ndo ubinafsi huo???kilimanjaro nao wakisema hela ya mlima kilimanjaro isiende serikali kuu,dodoma na singida si watakufa njaa?



utumie akili,,
hakuna aliekuambia ya kwamba watu hawataki kushare hiyo gase,hoja ni kwamba shughuli zote za processing zifanyike mahala husika kunapopatikana hiyo gase,,lione kwanza
 

wewe nawe utambe una nini??

Ushawaona wenzako wajinga sio??watu wanaelewa kila kitu,labda wewe ndie mjinga wa mambo,,

kinachotakiwa gase ghafi isisafirishwe,,uandaliwe utaratibu wa processing sehemu husika inapopatikana gase yenyewe,ili manufaa kwa wakazi yaonekane kwa kiasi kikubwa,unakuja na hoja zako mfu unajiabisha tuh hapa
 
Sina Uhakika na usalama wa kufanya utafiti, kisha uvunaji katika mkoa mmoja halafu uzalishaji na ushafirishaji katika mkoa huo huo. La msingi hapa ni kujua Mtwara itanufaika vipi?

Kwa habari ya Lindi, nachojua kutajengwa kiwanda cha kuzalisha gesi kwa ajili ya kusafirisha nje ya nchi
Kilwa inauwezekano mkubwa sana ya kujenga bandari kama mbadala wa watafiti badala ya wote kutumia mtwara

Kengine Gesi inayopelekwa dar ni kwa ajili ya uzalishaji umeme wa taifa sielewi kama wananchi wanaambiwa ukweli au mimi nina taarifa zisizo sahihi....ila taarifa zangu ni kutoka kwa watafiti wakubwa
 
utumie akili,,
hakuna aliekuambia ya kwamba watu hawataki kushare hiyo gase,hoja ni kwamba shughuli zote za processing zifanyike mahala husika kunapopatikana hiyo gase,,lione kwanza
wewe ndo zuzu tena hutumii akili kabsa.,narudia tena,kilimanjaro si wangegoma na wao kuwa mahotel yote ya kitalii yanayotangaza na kupokea wageni wa mlima Kilimanjaro yawe moshi tu,na sio dar,Tumia hicho kichwa ulichopewa na Mungu kufikiri,usitumie vichwa vya wengine kufikiri.SHAME ON U.
 
Siku zote wamekuwa wakitumia wa majenereta,haukuwa wa grid ya Taifa mkuu..
Tatizo hapa ni kuwa mtwara hawaelewi wanachokitaka,shida yao ni mgawo wa mapato ya gesi kwenye halmashauri yao au gesi kusafirishwa,,,inakuwa shida sana kuona kuwa hata hujui unachokitaka.
 
bendera siafiki.... labda itafutwe njia mbadala maana bendera tayari ni kesi ya uhaini hiyo.... yani ni sawa na kusema hawana Imani na rais naona watafute njia mbadala tu isije ikala kwao kupandisha bendera ni sawa na unadeclare taifa lako labda kama mimi ndo nicwe mwelewa
 



akili yako ndogo
huwezi kuelewa,anyway leave it to us
au wewe ni ccm mwenyewe??

pili pili hizi zinakuwashia nini,,kitu usichokielewa ni bora kukaa kimya kuliko kuandika uozo kama huu
nenda shule kwanza
 
akili yako ndogo
huwezi kuelewa,anyway leave it to us
au wewe ni ccm mwenyewe??

pili pili hizi zinakuwashia nini,,kitu usichokielewa ni bora kukaa kimya kuliko kuandika uozo kama huu
nenda shule kwanza
Big show anapumuliwa kisogoni na wnaume wenzie,hope you are not.
 
Mkulu
Ungeunganisha uzi huu Kwenye main Topic ingeleta umbo la maada Kwa ukamilifu, ila main Topic ikibaki kama ilivyo fishy elements humu Jf ambao husoma heading leaf hupata harufu Kali sana ya kibaguzi, but wakisoma sababu za sure zina mantiki kubwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…