M MINOCYCLINE JF-Expert Member Apr 2, 2015 8,011 16,748 Apr 10, 2021 #1 " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko?
" Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko?
Mkalimani wa taifa JF-Expert Member Aug 8, 2020 753 1,285 Apr 10, 2021 #2 bado sijasikia jina langu mkalimani wa taifa likitajwa kwenye report
Mkalimani wa taifa JF-Expert Member Aug 8, 2020 753 1,285 Apr 10, 2021 #5 tatizo bongo kila kitu ni fursa,mtaji mpya ni wanyonge,hawa ni nyumbu wa kuwakamua maziwa,jasho mpaka damu ikibidi na pumzi kabisa,why hard working citizens are the so called Wanyonge? fvck wanyonge
tatizo bongo kila kitu ni fursa,mtaji mpya ni wanyonge,hawa ni nyumbu wa kuwakamua maziwa,jasho mpaka damu ikibidi na pumzi kabisa,why hard working citizens are the so called Wanyonge? fvck wanyonge
Trimmer JF-Expert Member Apr 25, 2014 2,186 3,380 Apr 14, 2021 #6 Generalist said: " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko? Click to expand... Nyie ndo mnafanya bangi ionekane mbaya
Generalist said: " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko? Click to expand... Nyie ndo mnafanya bangi ionekane mbaya
kiboboso JF-Expert Member Sep 17, 2013 9,182 12,286 Apr 14, 2021 #7 Wanyonge wa taifa hili walituchelewesha sana.