ndingi mwana nzeki
Member
- May 18, 2015
- 83
- 93
Ladies and gentlemen I greet you all,
Mwisho wa wiki lile lingine mutoto wetu who is eight yrs old alikua akijikuna sana nyeti zake, we didn't care much coz tuliona ni kujikuna tu, then the next day, her teacher called his mom and said penis ya kijana wetu imekua nyekundu sana na imenona kichwa sana, kichwa kimefura and reddish
wakamleta home na gari before wengine kutoka, mom akamleta town tukampeleka hospital, hakua anaweza tembea vizuri.
Wakapima vipimo vyote, doctor akasema it is just bacterial infection, tukauliza are you sure sio STDs he said no, tukapewa antibiotics, jioni vile tumerudi home tukahoji mtoto imetokea nini kwenye penis yako surprisingly bila kujibu akawa anamuangalia house girl kwa macho makali sana, alifanya hivyo kila tukimuuliza, the next morning, very early, I think ni 5 am, hg akaja kugonga room yetu anaomba keys aende akalime nyasi zimekuwa, wife akamuuliza at this time? She replied, yes ameona aanze mapema kabla ya kazi zingine, kumbe yuko na bag amepack nguo zake, tumeamka asubuhi tumekuta ameshatoroka.
Anyway, mtoto sasa ana improvement kubwa, penis imeanza kurudi normal,
Sasa tumejiuliza kwanini hg ametoroka? Does she have anything to do with the boy's sickness? If yes mbona doctor alisema it just bacterial infection?
Kuna mwingine hapa mtoto amepata shida kama hii?
Mwisho wa wiki lile lingine mutoto wetu who is eight yrs old alikua akijikuna sana nyeti zake, we didn't care much coz tuliona ni kujikuna tu, then the next day, her teacher called his mom and said penis ya kijana wetu imekua nyekundu sana na imenona kichwa sana, kichwa kimefura and reddish
wakamleta home na gari before wengine kutoka, mom akamleta town tukampeleka hospital, hakua anaweza tembea vizuri.
Wakapima vipimo vyote, doctor akasema it is just bacterial infection, tukauliza are you sure sio STDs he said no, tukapewa antibiotics, jioni vile tumerudi home tukahoji mtoto imetokea nini kwenye penis yako surprisingly bila kujibu akawa anamuangalia house girl kwa macho makali sana, alifanya hivyo kila tukimuuliza, the next morning, very early, I think ni 5 am, hg akaja kugonga room yetu anaomba keys aende akalime nyasi zimekuwa, wife akamuuliza at this time? She replied, yes ameona aanze mapema kabla ya kazi zingine, kumbe yuko na bag amepack nguo zake, tumeamka asubuhi tumekuta ameshatoroka.
Anyway, mtoto sasa ana improvement kubwa, penis imeanza kurudi normal,
Sasa tumejiuliza kwanini hg ametoroka? Does she have anything to do with the boy's sickness? If yes mbona doctor alisema it just bacterial infection?
Kuna mwingine hapa mtoto amepata shida kama hii?