Nilinunua kifurushi cha 5000 Airtel M, wakaniambia sijui nn. Jaribu baadae.
Nmekaa nusu saa, nikajaribu tena. Ikakubali
Mara paaa meseji mbili zote za kununua vifurushi kwa 5000 yaan jumla 10000
Kuchek salio, kweli bana wamekata 10000
Nikawapandia hewan, Jamaa yule akaanza maneno maneno
Nilimtapikiaa matusii, akaniuliza, una shida nyingine tukusaidie?? Nikatapika matusi
Nilipokata simu, muamla mmoja wa 5000 ,ukarudishwa .