Mtaani Festival

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,341
Reaction score
1,499
Habari Tanzania !

Nawaomba basi wenye mamlaka mturuhusu Vijana na hata wazee waweze kuwa na Party/ Sherehe ya Mtaa yaani wana mitaa tunakusanyika tunapiga cha Pilau safi na kupiga mastori ya hapa na pale ila hii Sherehe iwe ya kitaifa tufanye siku moja kila mtaa.

Haya maisha ni kusheherekea tu; mashida ya hii dunia yapo tu na hayana mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…