G gwala Member Joined Feb 8, 2011 Posts 11 Reaction score 0 May 19, 2012 #1 Wandugu kuna mlinzi wa Tanzaniteone amefariki asubuhi hii mgodini. Na sasa mwili uko njiani kuelekea kcmc kuhifadhiwa. Jina ni Kaaya mwenyeji wa Bomang'ombe. Anayeweza kufatilia zaidi afanye hivyo
Wandugu kuna mlinzi wa Tanzaniteone amefariki asubuhi hii mgodini. Na sasa mwili uko njiani kuelekea kcmc kuhifadhiwa. Jina ni Kaaya mwenyeji wa Bomang'ombe. Anayeweza kufatilia zaidi afanye hivyo
M Mzee Kabwanga Member Joined Apr 27, 2012 Posts 68 Reaction score 18 May 19, 2012 #2 Amekufa kwa ugonjwa siyo ajali ya mgodini.Alikuwa muhimu kwa kazi yake na familia taratibu zote zinafanyika kwa mazishi.
Amekufa kwa ugonjwa siyo ajali ya mgodini.Alikuwa muhimu kwa kazi yake na familia taratibu zote zinafanyika kwa mazishi.
Mshuza2 JF-Expert Member Joined Dec 27, 2010 Posts 11,555 Reaction score 17,947 May 19, 2012 #3 Khaa!...
Angel Msoffe JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 6,781 Reaction score 1,657 May 19, 2012 #4 Haya bwana! R.I.P MAREHEMU