Mshindi wa bongo star search anusurika kufa

pamoja na pole zake lakini asianze kutanua sana kama alizoea basi apande basi tu hebu fikiri mafuta Dar Mby Dar, hizi hufanya watu wenye msingi mkubwa sana wa fdedha sasa yeye hela yenyewe ya zawadi hata hajaanza kuizungusha jamani?.......................ama badu si kwamba angepanda basi yasingemkuta but nawaza kwa sauti tu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…