chifu hapo ndipo kuna utata kiukweli kabisa wapo wenye diploma ambao wanalipwa kwa kima cha TGS C1 ambayo ni 410000 na wapo wanaolipwa kwa kima cha TGS B1 ambayo ni 311000
Nadhani hapa kwenye diploma ni kwa kuangalia diploma na diploma na hivi ni vima nje ya vile vima vya sekta ya afya, kilimo nk