iv ndugu zangu
polisi wanalipwaga tsh ngapi?
Maana leo nimepita Bank ya Nmb nimekuta polisi ameganda kasimama kama yale masanamu wanayovalishaga nguo
haangalii kushoto wala kulia.
iv ndugu zangu
polisi wanalipwaga tsh ngapi?
Maana leo nimepita Bank ya Nmb nimekuta polisi ameganda kasimama kama yale masanamu wanayovalishaga nguo
haangalii kushoto wala kulia.
Kwa vyovyote vile we ni insanity tu,what is your logic ?
How if you could be told/informed that their starting salary is from 1m,could you remove feelings of some1?
Sasa kwa uelewa wako we unadhan ni kazi gani ukiifanya unalipwa na kukuondolea mawazo ya maisha na mipango yako yote.
iv ndugu zangu
polisi wanalipwaga tsh ngapi?
Maana leo nimepita Bank ya Nmb nimekuta polisi ameganda kasimama kama yale masanamu wanayovalishaga nguo
haangalii kushoto wala kulia.
iv ndugu zangu
polisi wanalipwaga tsh ngapi?
Maana leo nimepita Bank ya Nmb nimekuta polisi ameganda kasimama kama yale masanamu wanayovalishaga nguo
haangalii kushoto wala kulia.
Mwenzio akitoka lindo anasign alf10 kila siku na anaposho ya mazingira magumu kila mwezi na bado analipwa ration allowance! Na mshahara upo! We unalipwaje? Au babayako analipwaje?
mm cjaelewa maana ya mleta thread hii analipwa mshahara kwa kigezo kip
kuwa yupo lindo akiwa siriaz kwenye kazi
au umeuliza lengo unataka kuwa police
usidhalau mtu kwa kazi yake maana ya kwako haimsaidii
hata analipwa kidogo anaridhika nacho