Unachoongea ni uharo tu!
Manzese girl akipata tablet inakuwa balaa tu mitaani!Likely una matatizo kwa wiki hii ya maumbile ya kina dada na scientifically mkiwa kwenye siku hizo huwa mna kuwa na hormones imbalances
Sijaona kilichokufanya u jump kwenye issue hii na kama issue hapa ni kusoma Ulaya usinilaumu mm bali mlaumu mzazi wangu aliyekuwa ananilipia ada;kunilaumu mm ni kunionea tu!