Kuna mdada mmoja, anasema amependana na mkaka ambae ana mtoto japokuwa aliachana na mama wa mtoto kama miaka miwili iliyopita. anadai anaogopa kuendelea na huyo kaka kwa sababu anahic anaweza akarudisha moyo kwa m2 aliyezaa nae mtoto. mpeni ushauri jaman.....
Sasa tumpe ushauri wakati yeye hajaomba?
why tutoe ushauri halafu wewe ndo umpelekee?
wewe una uwezo gani wa kuchambua ushauri humu na kumpelekea unaofaa?
na kwa nini sisi tutoe ushauri kwa mtu ambae sio mhusika?
Sasa tumpe ushauri wakati yeye hajaomba?
why tutoe ushauri halafu wewe ndo umpelekee?
wewe una uwezo gani wa kuchambua ushauri humu na kumpelekea unaofaa?
na kwa nini sisi tutoe ushauri kwa mtu ambae sio mhusika?