we si unaona sifa kusoma UD haya sasa kasome hilo likoz lako ukimaliza miaka yako 3 ya mateso bila bumu maana kwa hiyo koz hata uwe yatima umefiwa na ukoo wote huwez pata bumu...uki graduate jiandae kwa ujasiriamali maana kwa hiyo koz labda ukaajiriwe na gwajima kama shemasi wa ufufuo na uzima