msaada

mandojo

Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
41
Reaction score
5
hist d, Chem f, English c, bios c, math f,kiswahil c, civcs c, geography c, phsic f. please naomb kujua hiyo no dv ngap wada??
 
Masomo yanayotumika huwa ni saba tu, tena wanachukua yale ambayo umefaulu sana ikiwa umesoma zaidi ya saba.
A-1
B-2
C-3
D-4
F-5.


Sasa hapo una c 5*3=15
Jumlisha D =4
Jumlisha F=5
JUMLA UNAPATA 24
 
Masomo yanayotumika huwa ni saba tu, tena wanachukua yale ambayo umefaulu sana ikiwa umesoma zaidi ya saba.
A-1
B-2
C-3
D-4
F-5.


Sasa hapo una c 5*3=15
Jumlisha D =4
Jumlisha F=5
JUMLA UNAPATA 24
much thanks fred , SAS nmeelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…