Huyo dereva atashtakiwa kwa kosa la kukuua bila kukusudia ambayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela ingawa inaweza kupungua kutokana na hekima ya jaji,kwa mazingira haya huyo Dereva hatofungwa maisha bali anaweza fungwa maybe 5 to 3 years kwa uelewa wangu wa kisheria