WhatsApp waniban Namba yangu baada ya hapa nikawaomba kupitia email yao na wakanifungulia ila ajabu Kila nikitaka kulog in wananiambia kwamba situmii officially whatsApp na muda huo natumia Official whatsApp, na nimeapdate kabisa lakini bado.
Tusaidiane hapo jamani kwa anayejua.
Ujumbe wenyewe ni huo apo chini