N ngakotecture JF-Expert Member Dec 30, 2014 2,450 2,577 Jun 28, 2017 #1 Wakuu habari za mchana samahani kwa kuwasumbua ni hivi katika pilikapilika za eid mosi mnamo jumatatu nimeangusha simu yangu samsung galaxy s6edge plus.Nataka nijue je kuna uwezekano wa kuipata manake hata sijui sina hata miezi sita tangu ninunue.
Wakuu habari za mchana samahani kwa kuwasumbua ni hivi katika pilikapilika za eid mosi mnamo jumatatu nimeangusha simu yangu samsung galaxy s6edge plus.Nataka nijue je kuna uwezekano wa kuipata manake hata sijui sina hata miezi sita tangu ninunue.