Msaada wajameni

Kua na tahadhari mbele kuna wanawake wanasutana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kibao kinamaanisha hilo eneo kuna Bubu, kiziwi, kiwete na kipofu.
Kwa kifupi uwe na tahadhari hio sehemu kuna walemavu wanaovuka barabara.
 
Inamaanisha eneo unaloingia lina watu wenye ulemavu wa UKOMA, mara nyingi kutembea kwao huwa ni wa shida sana, so SLOW DOWN.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…