kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,335
- 7,745
Wataalam nawasalimu,
Moja Kwa Moja nakuja kwenye tatizo.
Juzi alhamis mwanangu mdogo alirudi kutoka shule akiwa anachechemea kidole gumba hakigusi chini anakipandisha juu ya nyayo.
Nilimuangalia nikaona kama ana mwiba umemchoma.Sikumtoa nikawaza nimuwekee utomvu wa papai Ili iwe rahisi kuutoa asubui.
Bahati mbaya nikakosa utomvu wa papai.
Asubui kukawa na kama Usaa umetunga.Aligoma kutumbuliwa nikampeleka shule.Kwa vile watoto wanaamini walimu nikawaambia wamtumbue akatumbuliwa na toothpick zile ambazo mpaka utoe kipakti.
Akashinda fresh ila usiku akawa analialia mwisho akalala.
Leo akaamka na kama lengelenge ila mida tangu saa Moja asubui Hadi sasa linekuwa kubwa na kama ameungua.Kuna mama mmoja ameshtua kidogo kuwa inawezekana nyoka aliulamba huo mwiba ndio maana imetokea Hali hiyo na tusimtumbue.
Yule mama simuamini but what is this?Sishindwi kumpeleka hospitali ila anaenda kupimwa Nini maana sasa hivi Kila mtu ni mtaalam.
Natanguliza shukurani Kwa ushaur.
Moja Kwa Moja nakuja kwenye tatizo.
Juzi alhamis mwanangu mdogo alirudi kutoka shule akiwa anachechemea kidole gumba hakigusi chini anakipandisha juu ya nyayo.
Nilimuangalia nikaona kama ana mwiba umemchoma.Sikumtoa nikawaza nimuwekee utomvu wa papai Ili iwe rahisi kuutoa asubui.
Bahati mbaya nikakosa utomvu wa papai.
Asubui kukawa na kama Usaa umetunga.Aligoma kutumbuliwa nikampeleka shule.Kwa vile watoto wanaamini walimu nikawaambia wamtumbue akatumbuliwa na toothpick zile ambazo mpaka utoe kipakti.
Akashinda fresh ila usiku akawa analialia mwisho akalala.
Leo akaamka na kama lengelenge ila mida tangu saa Moja asubui Hadi sasa linekuwa kubwa na kama ameungua.Kuna mama mmoja ameshtua kidogo kuwa inawezekana nyoka aliulamba huo mwiba ndio maana imetokea Hali hiyo na tusimtumbue.
Yule mama simuamini but what is this?Sishindwi kumpeleka hospitali ila anaenda kupimwa Nini maana sasa hivi Kila mtu ni mtaalam.
Natanguliza shukurani Kwa ushaur.