Sasa msukuma kiazi hiyo candid powder inapatikana wapi? maana na mimi nina fungus katikakati ya kidole ina miaka, kila dawa nimetumia hadi nimechoka.Tumia powder inaitwa "candid powder"
Pharmacy zipo utapata tena kwa fungus za miguuni ni nzuri sana.Sasa msukuma kiazi hiyo candid powder inapatikana wapi? maana na mimi nina fungus katikakati ya kidole ina miaka, kila dawa nimetumia hadi nimechoka.
Hii ni sahihi,niliwahi sikia Dr akisema kwamba kama unaishi maeneo ya joto, kama DSM na mengineyo,inashauriwa kutumia dawa yenye mfumo wa powder kutibu fungus hasa kwenye maeneo yaliojificha kama huko kwenye mfuko wa korodani, katikati ya vidole na maeneo mengine kama hayo.Tumia powder inaitwa "candid powder"
ndo hzo kwa kisukuma tunaita ballsmfuko wa korodani ndo upi jamani ? ni mapuumbu au?
ok kumbe huwa zinapata fangasi?ndo hzo kwa kisukuma tunaita balls
Nenda pharmacy waambie wakupe Whitefield. Hiyo ni kiboko lazima waondoke wooteHabari zenu wana JF, poleni na majukumu.
mimi nasumbuliwa na tatizo la fungus kwenye mfuko wa korodani, kwa anaejua tiba naomba anisaidie.
kidole cha mkononi au mguuni?Sasa msukuma kiazi hiyo candid powder inapatikana wapi? maana na mimi nina fungus katikakati ya kidole ina miaka, kila dawa nimetumia hadi nimechoka.
Eeeh ila zenye matunzo zero.ok kumbe huwa zinapata fangasi?