Kula lishe mzito mama, na kwa chakula kingi na tia pilipili maziwa yatatoka tu.
Kula ugali na samaki, nyama, mboga za majani, maarage, nk
viazi, mihogo, ndizi, mseto, lishe mzito.
kwani unakula chakula gani mwenzetu
Ukishinda na njaa na ukinywa chai tu na chapati, maandazi, maziwa yatato toka