Desire mobutu seseseko JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 1,002 Reaction score 1,475 Jan 10, 2023 #1 Wakuu maswali gani yanaulizwa kwa kada ya Transport officer, kwenye paper, tupia hapa unayoyakumbuka kama ushawahi kufanya paper za kada hiyo.
Wakuu maswali gani yanaulizwa kwa kada ya Transport officer, kwenye paper, tupia hapa unayoyakumbuka kama ushawahi kufanya paper za kada hiyo.
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,181 Reaction score 166,164 Jan 10, 2023 #2 Desire mobutu seseseko said: Wakuu maswali gani yanaulizwa kwa kada ya Transport officer, kwenye paper, tupia hapa unayoyakumbuka kama ushawahi kufanya paper za kada hiyo. Click to expand... Kwanini usisome kwa marefu na mapana ukaelewa na badala yake umeamua kufuata njia ya mkato? Njia ya mkato ndiyo njia ndefu zaidi maishani. WATU WAKIKUPA MASWALI YA UONDO HAPA JUKWAANI HALAFU USIYAKUTE KWENYE INTERVIEW ITAKUWAJE? UTAFANYA NINI? UTAMLILIA NANI?
Desire mobutu seseseko said: Wakuu maswali gani yanaulizwa kwa kada ya Transport officer, kwenye paper, tupia hapa unayoyakumbuka kama ushawahi kufanya paper za kada hiyo. Click to expand... Kwanini usisome kwa marefu na mapana ukaelewa na badala yake umeamua kufuata njia ya mkato? Njia ya mkato ndiyo njia ndefu zaidi maishani. WATU WAKIKUPA MASWALI YA UONDO HAPA JUKWAANI HALAFU USIYAKUTE KWENYE INTERVIEW ITAKUWAJE? UTAFANYA NINI? UTAMLILIA NANI?
Ultimate JF-Expert Member Joined Nov 29, 2016 Posts 739 Reaction score 1,890 Jan 10, 2023 #3 Kuna kipindi niliona paper ilikua ya transport analysis. Yalikua cost minimization, lead time na vitu vingine kama ivyo
Kuna kipindi niliona paper ilikua ya transport analysis. Yalikua cost minimization, lead time na vitu vingine kama ivyo
Desire mobutu seseseko JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 1,002 Reaction score 1,475 Jan 12, 2023 Thread starter #4 Ultimate said: Kuna kipindi niliona paper ilikua ya transport analysis. Yalikua cost minimization, lead time na vitu vingine kama ivyo Click to expand... shukran mkuu Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Ultimate said: Kuna kipindi niliona paper ilikua ya transport analysis. Yalikua cost minimization, lead time na vitu vingine kama ivyo Click to expand... shukran mkuu Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Desire mobutu seseseko JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 1,002 Reaction score 1,475 Jan 12, 2023 Thread starter #5 Bujibuji Simba Nyamaume said: Kwanini usisome kwa marefu na mapana ukaelewa na badala yake umeamua kufuata njia ya mkato? Njia ya mkato ndiyo njia ndefu zaidi maishani. WATU WAKIKUPA MASWALI YA UONDO HAPA JUKWAANI HALAFU USIYAKUTE KWENYE INTERVIEW ITAKUWAJE? UTAFANYA NINI? UTAMLILIA NANI? Click to expand... nikujua maswali nitaelewa yanatokea kwenye Topics zipi ndo nipitie mkuu Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Bujibuji Simba Nyamaume said: Kwanini usisome kwa marefu na mapana ukaelewa na badala yake umeamua kufuata njia ya mkato? Njia ya mkato ndiyo njia ndefu zaidi maishani. WATU WAKIKUPA MASWALI YA UONDO HAPA JUKWAANI HALAFU USIYAKUTE KWENYE INTERVIEW ITAKUWAJE? UTAFANYA NINI? UTAMLILIA NANI? Click to expand... nikujua maswali nitaelewa yanatokea kwenye Topics zipi ndo nipitie mkuu Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
K kanagolden Member Joined Nov 8, 2019 Posts 6 Reaction score 11 Jan 13, 2023 #6 Hii ya kesho LGA nn man???
Desire mobutu seseseko JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 1,002 Reaction score 1,475 Jan 14, 2023 Thread starter #7 kanagolden said: Hii ya kesho LGA nn man??? Click to expand... yeah man... tarehe 14
E Eyeson Property JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 202 Reaction score 47 Jan 8, 2025 #8 Soma notes zote za BLTM