Mimi mwenyewe ndo ugumu ninaoupata,kibaya zaidi NACTE hawatoi ushirikiano kama vile walianzisha hiki kitu bila kujipanga ,kuna muda ukipiga simu wakipokea wanasema hawajui hiki kitu. Sasa mimi nasubiri vyuo vifungue maombi niombe.
senty from my Iphone 7 using jamii forum app