finca!!!usimshaur.bora mabank mengne.ndugu yangu ana mzgo kias kutokana na biashara yake kushuka.wamemtembelea na kla ktu kapeleka.mwsho wa sku.afsa mkopo ana mwambia management imekataa,ksa mzgo mdogo.na n mzgo wa cret kama 50 hv za soda... kama s chuk n nn?nn maana ya mkopo,watu.wajiinue.sasa nw days mkopo n kama kuwaongezea wenye nacho na wasio nacho wakose..mxiuuuui?nenda crdb kama una hat ya mal isyo hamishka.