Msaada wa kula pisi kali

Political stability

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
905
Reaction score
1,410
Wakuu habari zenu,

Jamani kwa wale mnakula mbususu za high quality with heavy quantity, huwa mnatumia mbinu gani kuzi nasa, hizo mbususu?

Maana wengine, kama mimi, tunaishia kula mbususu za kawaida sana. Hizi pisi kali, tunaishia kuzisalimia tu, na kuziangalia,

Maelezo yasiwe mengi, naomba maujanja ya kuzila hizi mbususu.

 
Kwenu huko Dar ni nadra sana. Wazuri, wengi wao wanajiuza.

Nenda Singida (wanyaturu), Dodoma (Kondoa- warangi), Manyara (Wairaq a.ka wamburu) na Karatu (Arusha - Wairaq). Watoto wazuri asilia hawatumii hata vipodozi (Pisi kali asilia). Cha kushangaza wanafanya kazi zote za mashambani, wanapikia kuni na hawajui kulinga. Ni wewe tu hata km ni kapuku unakula mzigo safi na unaweka ndani.
 
chizcom bana
 
Lipia tangazo la kumpaisha huyu pisi kali haraka sana
 
Ingia PM kwake, mwambie 'naomba nikupeleke Ngorongoro ukaone uzuri wa dunia'
 
Huu uzi unaludiwa kila siku. Anyway tafuta pesa kama huna kabake
 
Umenikumbusha mbali sani. Niliwahi kumtamani mtoto wa kiiraki walikuwa wanakaa lindi ila niliambulia mitama na mikwaju yamaana kiasi ambacho nikiwaona tu natamani kunya
 
Mwanamke mzuri akiwa kwenye kundi la wanawake wa kawaida anaringa sana na kujiona keki.
Ukienda Singida au Manyara, utakutana na pisi kali zinachambua hadi vitunguu wapate hela. Huku pisi kali nyingi sana, kila kona watoto wakali kinyamaa kwahiyo huko ni kawaida sana.
Umenikumbusha mbali sani. Niliwahi kumtamani mtoto wa kiiraki walikuwa wanakaa lindi ila niliambulia mitama na mikwaju yamaana kiasi ambacho nikiwaona tu natamani kunya
 
Ndio naingia Mbeya wacha niende zangu City Pub nikapate nyama choma na mvinyo na kuangalia totoz za Mby zinafananaje!!! just kuzicheki tu!!
 
Huyo uliemueka hapo pichani ni nani? Dada yako?
 
Umenikumbusha mbali sani. Niliwahi kumtamani mtoto wa kiiraki walikuwa wanakaa lindi ila niliambulia mitama na mikwaju yamaana kiasi ambacho nikiwaona tu natamani kunya

Mkuu, ukakataliwa na muilaq, mmh! Em weka picha yako hapa tuione!!

Maake hawanaga kigezo cha pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…