Poleni na majukumu wana jamii forum; naomba kwa anaeweza kunisaidia mawasiliano ya mkuu Wa shule ya Mpitimbi sec school anisaidie nataka kumpeleka mtoto wangu kapangiwa hiyo shule sasa nimeona ni vizuri nikafanya mawasili na uongozi Wa shule kabla sijampeleka kujua /kufashule
juu ya hiyo shule
Naombeni huo msaada ndugu zangu