Sorry hiyo htc ni original au ni zile za mediatek.. Kama ni original naweza kuiflash bila wasi mkuu.. Kama ni mediatek itaniwia vigumu kwa sababu kuflashi kwake ntatakiwa niwe na simu kamahiyo ili ni extract os au rom file then niingize kwa simu hiyo.. Kisauti matelephone tanga 0715866429