Kama UkoMwanza Panda Gar Za Kwend Biharamulo Kuna Zuber Then Ukifka Hpo Pand Kwnda Rusum Boda Ya Tz Na Kigal N Kama Elf 8 Ktka B,muro To Rusumo Afu Rusumo Pale Utapta Gar Za Kigal Ama Hzi IT ZA KONGO then utaenda had rwanda ama DRC Na hop utakuwa GOMA ama fika rwanda panda magar ya kwenda goma, NB: hapo boda unaweza pata gar ya goma moja kwa moja kwa bei rahis ,kumbuka kuwa na paspot na n bor kuwa na hudma ya visa ama mastr card kuepusha kutembea na hela hayo maeneo sio mazur ukishindwa panda friend mwanza kampala chukua ndege to goma, safar njema ,kumbuka kutupa mrejesho