Ingia kwenye system omba kama kuna tatizo utaanzia hapo. Sidhani kama watatumia data ya mwaka wa jana kwani mfumo wa udahili umebadilika mwaka huu. Jaribu mapema ili kama kuna tatizo ulielewe mapema!!!!
Ingia kwenye system omba kama kuna tatizo utaanzia hapo. Sidhani kama watatumia data ya mwaka wa jana kwani mfumo wa udahili umebadilika mwaka huu. Jaribu mapema ili kama kuna tatizo ulielewe mapema!!!!