Unajua kinachofanyika kule china ni nini?
Jamaa wanachukua iphones ambazo ni reject (zilizochoka) wanazivisha housing mpya kabisa (refurbshed) zinaingizwa sokoni kama used ila wafanyabiashara wengine watakuambia ukweli kuwa ni used lakini wale wenye box zake watakuambia ni brand new na washajua kabisa wabongo wanashobokea iphone kwahyo biashara kwao inawawia rahisi
Unajua kinachofanyika kule china ni nini?
Jamaa wanachukua iphones ambazo ni reject (zilizochoka) wanazivisha housing mpya kabisa (refurbshed) zinaingizwa sokoni kama used ila wafanyabiashara wengine watakuambia ukweli kuwa ni used lakini wale wenye box zake watakuambia ni brand new na washajua kabisa wabongo wanashobokea iphone kwahyo biashara kwao inawawia rahisi
uko sahihi,nilikuaga siamini mpaka siku nilipoingia k.koo nakukuta chimbo linalouza Mabox ya simu aina zote Mapyaaa na seals zake na kila kitu chake ni wewe kwenda na simu tu...Nilitoa macho sikuamini.
Unajua kinachofanyika kule china ni nini?
Jamaa wanachukua iphones ambazo ni reject (zilizochoka) wanazivisha housing mpya kabisa (refurbshed) zinaingizwa sokoni kama used ila wafanyabiashara wengine watakuambia ukweli kuwa ni used lakini wale wenye box zake watakuambia ni brand new na washajua kabisa wabongo wanashobokea iphone kwahyo biashara kwao inawawia rahisi