Rkz5 Member Joined Oct 9, 2018 Posts 18 Reaction score 3 Oct 18, 2018 #1 Wadau wangu naombeni msaada wa haya mawe ambayo kimuonekano ni meupe sana na yanameremeta kiasi kwa jina yanaitwa terrazo. Natafuta soko bei yake ikoje sokoni
Wadau wangu naombeni msaada wa haya mawe ambayo kimuonekano ni meupe sana na yanameremeta kiasi kwa jina yanaitwa terrazo. Natafuta soko bei yake ikoje sokoni
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 23,655 Reaction score 57,047 Oct 18, 2018 #2 Kwa Mara ya kwanza natoa comment ya namna hii "Subiri wajuvi wa mambo hizo wakuje"
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,985 Reaction score 189,557 Oct 18, 2018 #3 ndege JOHN said: Kwa Mara ya kwanza natoa comment ya namna hii "Subiri wajuvi wa mambo hizo wakuje" Click to expand... We Ndegu punguza mbwembwe
ndege JOHN said: Kwa Mara ya kwanza natoa comment ya namna hii "Subiri wajuvi wa mambo hizo wakuje" Click to expand... We Ndegu punguza mbwembwe
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 23,655 Reaction score 57,047 Oct 18, 2018 #4 Kichwa Kichafu said: We Ndegu punguza mbwembwe Click to expand... Sikuzid wewe arifu
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,985 Reaction score 189,557 Oct 18, 2018 #5 ndege JOHN said: Sikuzid wewe arifu Click to expand... Heshima yako Kiongozi
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 19,030 Reaction score 15,232 Oct 18, 2018 #6 ndege JOHN said: Kwa Mara ya kwanza natoa comment ya namna hii "Subiri wajuvi wa mambo hizo wakuje" Click to expand... Bange zako kuna wakati zinakuzingua kinoma!
ndege JOHN said: Kwa Mara ya kwanza natoa comment ya namna hii "Subiri wajuvi wa mambo hizo wakuje" Click to expand... Bange zako kuna wakati zinakuzingua kinoma!
Omugisha Member Joined Aug 11, 2018 Posts 43 Reaction score 29 Oct 18, 2018 #7 Izo ni kokoto sio mawe
B Bizoo1 JF-Expert Member Joined Jul 27, 2018 Posts 425 Reaction score 314 Oct 18, 2018 #8 Mkuu tafuta mafundi wa kuweka floor wanaweza kukuonyesha soko ila usiumize kichwa sana yapo sehemu nyingi nchini
Mkuu tafuta mafundi wa kuweka floor wanaweza kukuonyesha soko ila usiumize kichwa sana yapo sehemu nyingi nchini
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 23,655 Reaction score 57,047 Oct 18, 2018 #9 pilipili kichaa said: Bange zako kuna wakati zinakuzingua kinoma! Click to expand... Hahahaha sure Kuna kipindi nadataga sijui huwa mizooka ya wapi inanikamata.,team mawenge
pilipili kichaa said: Bange zako kuna wakati zinakuzingua kinoma! Click to expand... Hahahaha sure Kuna kipindi nadataga sijui huwa mizooka ya wapi inanikamata.,team mawenge
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,455 Reaction score 45,030 Oct 18, 2018 #10 Awamu hii lazima tuheshimiane!! Mawe ya kujengea yanapogeuka vito vya thamani ha ha ha