tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,191 Reaction score 29,749 Jul 31, 2016 #1 Vyuo vya diploma vya serikali vinavyofundisha masomo ya sayansi yani Biology na Chemistry naomba nivijue.Nataka nimwone dogo. Asante
Vyuo vya diploma vya serikali vinavyofundisha masomo ya sayansi yani Biology na Chemistry naomba nivijue.Nataka nimwone dogo. Asante
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,191 Reaction score 29,749 Jul 31, 2016 Thread starter #3 maharco said: Monduli Click to expand... Asante,na namna ya kuomba kwa kupitia NACTE unafanyaje?Na je ni vyuo vingapi unaruhusiwa kuviomba?
maharco said: Monduli Click to expand... Asante,na namna ya kuomba kwa kupitia NACTE unafanyaje?Na je ni vyuo vingapi unaruhusiwa kuviomba?
mandojo Member Joined Jul 2, 2016 Posts 41 Reaction score 5 Jul 31, 2016 #4 tamuuuuu said: Asante,na namna ya kuomba kwa kupitia NACTE unafanyaje?Na je ni vyuo vingapi unaruhusiwa kuviomba? Click to expand... vyuo vitatu, nenda kwenye nacte.go.tz ufungue profile . then endelea na aplication
tamuuuuu said: Asante,na namna ya kuomba kwa kupitia NACTE unafanyaje?Na je ni vyuo vingapi unaruhusiwa kuviomba? Click to expand... vyuo vitatu, nenda kwenye nacte.go.tz ufungue profile . then endelea na aplication
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,446 Reaction score 829,809 Jul 31, 2016 #5 Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani
M maharco Senior Member Joined Nov 28, 2015 Posts 116 Reaction score 35 Jul 31, 2016 #6 Havionekani hivyo vyuo pale utapoteza hela vinavyo kuja ni vya Certificate tuu labda kesho
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,326 Reaction score 7,522 Jul 31, 2016 #7 mshana jr said: Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani Click to expand...
mshana jr said: Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani Click to expand...
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,191 Reaction score 29,749 Aug 1, 2016 Thread starter #8 mshana jr said: Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani Click to expand... Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
mshana jr said: Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani Click to expand... Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,446 Reaction score 829,809 Aug 1, 2016 #9 tamuuuuu said: Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie. Click to expand... Ok naomba uniwie radhi sana Pale Hospitali ya Rabinsia tegeta wanatoa matibabu ya vidonda vya tumbo lakini ni mpaka wampime mgonjwa wajue hivyo vidonda viko stage gani kisha watakupa dawa na matibabu kulingana na stage Sorry again
tamuuuuu said: Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie. Click to expand... Ok naomba uniwie radhi sana Pale Hospitali ya Rabinsia tegeta wanatoa matibabu ya vidonda vya tumbo lakini ni mpaka wampime mgonjwa wajue hivyo vidonda viko stage gani kisha watakupa dawa na matibabu kulingana na stage Sorry again