Msaada wa haraka wapendwa

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,191
Reaction score
29,749
Vyuo vya diploma vya serikali vinavyofundisha masomo ya sayansi yani Biology na Chemistry naomba nivijue.Nataka nimwone dogo.
Asante
 
Asante,na namna ya kuomba kwa kupitia NACTE unafanyaje?Na je ni vyuo vingapi unaruhusiwa kuviomba?

vyuo vitatu, nenda kwenye nacte.go.tz ufungue profile . then endelea na aplication
 
Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani
 
Havionekani hivyo vyuo pale utapoteza hela vinavyo kuja ni vya Certificate tuu labda kesho
 
Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani
Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
 
Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
Ok naomba uniwie radhi sana
Pale Hospitali ya Rabinsia tegeta wanatoa matibabu ya vidonda vya tumbo lakini ni mpaka wampime mgonjwa wajue hivyo vidonda viko stage gani kisha watakupa dawa na matibabu kulingana na stage
Sorry again
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…