Gari ni gari tuuu.sijui subaru,toyota,nissan,isuzu bmw benzi n.k tofauti majina tuu lkn ufanyaji wa kazi ni sawa.ukiona kama ww ni fundi harafu unashindwa kurebisha jua unashida ww.
Ufundi unahitaji kila siku.kujifunza.
Asilimia kubwa wengi huwa wanakuwa wauza spea. Ila fundi wa kweli hachagui gari