Habari za muda huu wadau?
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za mchana.
Naomba msaada wa dawa ambayo ninaweza kuitumia.
Habari za muda huu wadau?
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za mchana.
Naomba msaada wa dawa ambayo ninaweza kuitumia.
Sio minyoo hiyo nilikuwa na tatizo hilo la tumbo kuunguruma na kutoa sauti kubwa kama mtu alie jamba nilipoanza kutumia dawa za minyoo kwa sasa hiyo hali haitokei tena