Hivyo unavyomshauri huyu jamaa, atashindwa kwasababu ni lazima pesa awe nayo... Fikiria mtu anatafuta kazi yeyote ya halali.. Ujue tayari maji yapo shingoni, maana yake hata hela hana.. Afu wewe unamshauri ishu zinazotaka pesa
Sent from my Infinix Zero 3 using
JamiiForums mobile app