Kwa ishu yeyote ya kusema app has stopped unachotakiwa ni kwenda kwenye settings halafu app management kisha unaifuata app inayostop unaclear cache na data.
Hapo inatakiwa imalize tatizo kama halisababishwi na kirusi au internal memory kujaa. Kama linaendelea na siyo kirusi au internal memory kujaa jaribu kurestore simu, kama linaendelea install firmware nyingine.
Hili ni suluhisho kwa android zote.