.Habarini za jioni,Leo kwenye account yangu ambayo nilitumia kuapply chuo kwa upande Wa Udsm wameandika hivi
STATUS : Successfully selected on : Bachelor of Arts with Education (UD012)
RESULTS COMMENTS
>>>You have multiple admission offers and you have not CONFIRMED your admission to this institution !. If you wish to CONFIRM your admission offer to this institution, please clickCONFIRM.
Sasa TCU hawajanitumia hizo codes na mwisho in Leo...lakini mwanzoni ilikuwa imeandikwa nimechaguliwa na nimekuwa confirmed kibaya zaidi kwenye list ya multiple selected ya TCU jina langu silioni..ushauri wenu wadau
sasa kwa udsm cjui tatizo nnNami vilevile
xijui tatz ni nn jamnUDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:
Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.
UDOM FIRST YEAR
Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.
Mnataka muwakaange mapema Contena jipyaaa..UDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:
Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.
UDOM FIRST YEAR
Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.
Alokwambia si vizur ni nannaona nishakosa chuo je naweza kufanya application chuo kikuu cha makelele uganda anayefahamu taratibu zao zipoje kukaa nyumbani mwaka mzima si vizuri
addimision result unaipata kwenye account yakoVP kuhusu walioomba kusoma postgraduate udsm zinatoka lini?
Tafuta scholarship uende kusoma nj'e Mkuu changamkia fursa Mkuunaona nishakosa chuo je naweza kufanya application chuo kikuu cha makelele uganda anayefahamu taratibu zao zipoje kukaa nyumbani mwaka mzima si vizuri