Ushauri wa kuzingatia huu...
Sio tu kwa wanunuaji hata sisi wauzaji tunapaswa kua makini sana tushalizwa sana huku tuma mzigo nikipokea nakutumia hela.
Namna nzuri ni kua na middle men mnunuaji anayemuamini aje akague mzigo akiridhika alipe achukue chake