Wakuu,nahitaj office equipments.mazaga yote kwa bei ya jumla lakin kama mtu anayo
1.desks
2.shelves
3.desktop computers
4.viti
5.meza za offisi
6.projector
7.writing boards
8.curtains
Kila kitu wakuu kwa bei ya jumla.
Nawalenga wale wanaofunga offis na wanaona bora wauze tuu mali zao..najua kampun/NGO nying zmekufa etc
So hapa hapa ndo kwenye ganda la ndiz
Uzi tayar