Kuna ZTE mpya kabisa ipo kwenye boksi lake imetoka Germany inakubali mtandao wa T mobile tu na hapo bongo hakuna huo mtandao so kama kama ukiipenda ni kwenda kuflash tu elfu 10 kariakoo,na mie naiuza laki mbili cash,pia kuna tecno C5 bei laki na hamsini ambayo ndio hii mimi nayotumia kama upo tayari tufanye biashara mkuu,