Msaada: Samsung Note...inajizima na kuwaka yenyewe

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
16,344
Reaction score
37,788
Wadau hii simu inanipasua kichwa na hii tabia ya kuzima na kujiwasha inavyotaka yenyewe....
Tatizo huwa linaanza nikiwasha tu data, inaweza tulia kwa muda ila nikigusa tu baadhi ya app basi itajizima...
Ikiwa kwenye chaji hata haizimi, pia nikiitumia bila data pia inakuwa poa tu..

Hapa nimebadilisha betri zaidi ya mara 3 sioni mabadiliko...

Naomba msaada,tatizo linaweza kuwa nn..na solution yake ni nini??

Kama kuna mtu anamjua fundi mzuri hapa dar anielekeze, simu yangu bado naipenda wakuu!!
 
Kama kwenye PC kuna recycle bin kwahiyo angalia hapo kwenye chumba uliopo kama kuna recycle bin kama huna install then tupa and empty bin ...Problem Solved
 
Kama kwenye PC kuna recycle bin kwahiyo angalia hapo kwenye chumba uliopo kama kuna recycle bin kama huna install then tupa and empty bin ...Problem Solved
Akiufuata huu ushauri atakuwa amesaidika sana,simu ukishampa fundi akaitia tia vidole hiyo inakuwa siyo simu tena bali kopo.
 
niuzie kioo..ishakufa hiyo..mana ipo siku itazima na isiwake tena mpaka Yesu arudi
 

Habari mkuu,kama haujafanikiwa tatzo lako naomba tuwasiliane ufike ofisini kwa msaada zaidi.Mawasiliano 0766334991
 
Mkuu samahan, ulifanikiwa kufix tatizo lako na mim nina shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…