Mkuu nenda setting >about phone> imei check kama zipo + baseband kama ni (unknown) basi [>fix baseband] na kama imei hazipo basi repair imei na kama wajua kuwrite cert vasi ndo kazi na kama hujui basi jua gharama zinahusika.
Mkuu nenda setting >about phone> imei check kama zipo + baseband kama ni (unknown) basi [>fix baseband] na kama imei hazipo basi repair imei na kama wajua kuwrite cert vasi ndo kazi na kama hujui basi jua gharama zinahusika.
Mkuu nami umenipa somo ila naomba unisaidie na mimi hili tatizo Sumsung note2 ukiangalia salio fresh ila ukitaka kuingiza menu yoyote mfano *150*01# inasema invalid MMI CODES
Ingia kwenye upande wa mobile network na iruhusu simu ijichagulie mtandao, I mean iwe kwenye option ya 4G/3G/2G na sio 3G only.
Ikishindikana, fuata ushauri wa majamaa hapo juu.
Ingia kwenye upande wa mobile network na iruhusu simu ijichagulie mtandao, I mean iwe kwenye option ya 4G/3G/2G na sio 3G only.
Ikishindikana, fuata ushauri wa majamaa hapo juu.
Mkuu nenda setting >about phone> imei check kama zipo + baseband kama ni (unknown) basi [>fix baseband] na kama imei hazipo basi repair imei na kama wajua kuwrite cert vasi ndo kazi na kama hujui basi jua gharama zinahusika.