Msaada please iPhone users nimedelete default app

Mbeky

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
672
Reaction score
520
Wadau habari za muda huu...kwa wadau wanatumia IOS devices/iPhones...accidentally nimedelete music app yangu yahani ile default music app ya apple (sijui kama ili ni jina sahii) lakini namaanisha ile inayokuja na simu...sasa nimestruggle kuitafuta kila mahali kama naweza download mpya au naweze restore iliyokuwepo lakini nimeshindwa tatua hili...please kwa anayejua namna ya kuirudisha naomba anijuze...natanguliza shukrani
 
Pre Installed App huwezi kufuta, inawezekana umeihamisha tu. Jaribu kureset layout kwa kwenda hapa Settings>General>Reset>Reset Home Screen Layout.
 
Pre Installed App huwezi kufuta, inawezekana umeihamisha tu. Jaribu kureset layout kwa kwenda hapa Settings>General>Reset>Reset Home Screen Layout.
Au jaribu kurestore from back up kupitia iTunes.
 






Screenshots hizo hapo...haipo kweli
 
Pre Installed App huwezi kufuta, inawezekana umeihamisha tu. Jaribu kureset layout kwa kwenda hapa Settings>General>Reset>Reset Home Screen Layout.

Hii nimeshafanya ila bado sijaiona...hizo screenshots hapo juu ni baada ya resetting layout
 
Itakuwa imeingia ndani ya folder jengine
 
option ya kwanza inakuhusu boss

Nimefanya hiyo option ya kwanza kilichotokea ni mabadiriko ya background na some tones but bado haionekani...mkuu labda unipe option nyingine
 
Inawezekana kwa sababu kuanzia iOS 10 unaweza kufuta apps ikiwemo Apple Music, Note, Reminder, Time n.k na kudownload tena kama Apps nyingine for free.

Nenda store download tena, andika Apple Music utaiona kisha download tena.

Mfano hii hapa.




 
Mm nipeni msaada nataka niweke GB WHATSAPP kwenye iphone 5 lkn kila nikijaribu inasema not supported
 

Yes mkuu natumia IOS 10
Ngoja nijaribu ushauri wako
 

Mkuu imerudi aissee...Asante sana...ila sasa kila nikiilunch ina funguka for some few seconds afu inajifunga siwezi play any music...msaada wako kama kuna lolote natakiwa kufanya
 
Mkuu imerudi aissee...Asante sana...ila sasa kila nikiilunch ina funguka for some few seconds afu inajifunga siwezi play any music...msaada wako kama kuna lolote natakiwa kufanya

Okay.

Angalia storage yako ipo ngapi kama una space, au restart phone.

App uliyodownload ni ile ile sio tatizo la kuifuta na kuirudisha.

Restat your phone ili kama kuna tatizo liwe fixed. Pia check kama unatakiwa update ya iOS. Hivi sasa ni 10.0.2
 

Mkuu toka nimeupgrade to IOS 10 Apple Music haifanyi kazi tena...na jana niupdate to 10.1 Apple Music bado haifanyi kazi...
Kinachotokea nikiilunch ni inakua nyeupe tu hamna kinachowork then after some few seconds inajifunga
 
Mkuu toka nimeupgrade to IOS 10 Apple Music haifanyi kazi tena...na jana niupdate to 10.1 Apple Music bado haifanyi kazi...
Kinachotokea nikiilunch ni inakua nyeupe tu hamna kinachowork then after some few seconds inajifunga

Habari mkuu

Sijafahamu sababu ya hilo tatizo.

Pole sana. Jaribu kuunganisha na iTune kisha futa miziki yote jaribu kama unaweka songs mpya. Also check kama iTune inadetect music list yako
 
Habari mkuu

Sijafahamu sababu ya hilo tatizo.

Pole sana. Jaribu kuunganisha na iTune kisha futa miziki yote jaribu kama unaweka songs mpya. Also check kama iTune inadetect music list yako

iTunes inadetect vizuri tu nyimbo zote labda nijaribu na hii ya kufuta nyimbo zote nione...and I was thinking of downgrade too...naona sasa hii update hainisaidii raha ya simu ni net na media aissee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…