Hili unauhakika nalo boss?
Hio simu si mpaka wewe ukaweza kuitumia means washa i unlock kwa all networks, vipi tena ikurudishe US?
Nijuavyo mimi labda ku update software ndio ngumu ila hayo mengne yanawezekana.
Labda kuna kitu zaidi sikijui
Shukrani ngoja nifanye ivyoNenda application manager
Kisha hizo apps 3 hapa chini
View attachment 1476106
zote Ingia storage kisha
Clear data
Clear cache
Ila Google play service
manage storage Clear all data na manage wearable storage then clear now
Zote zitarejistore default
Baada ya hapo conect na WI-FI au hata MOBILEDATA beta WI-FI zitakuja kwa halaka upadate ziache zitajiupdate automatic
fanya hivyo tatizo linakwisha hivyo inaweza kutatua na tatizo lako pia
Kaka Nashukuru naona imekubari kufanya updatesNenda application manager
Kisha hizo apps 3 hapa chini
View attachment 1476106
zote Ingia storage kisha
Clear data
Clear cache
Ila Google play service
manage storage Clear all data na manage wearable storage then clear now
Zote zitarejistore default
Baada ya hapo conect na WI-FI au hata MOBILEDATA beta WI-FI zitakuja kwa halaka upadate ziache zitajiupdate automatic
fanya hivyo tatizo linakwisha hivyo inaweza kutatua na tatizo lako pia
Nimepitia hizi hatuwa zote Sumsung yangu bado imekomaa inanigomea, hii imekaaje?Nenda application manager
Kisha hizo apps 3 hapa chini
View attachment 1476106
zote Ingia storage kisha
Clear data
Clear cache
Ila Google play service
manage storage Clear all data na manage wearable storage then clear now
Zote zitarejistore default
Baada ya hapo conect na WI-FI au hata MOBILEDATA beta WI-FI zitakuja kwa halaka upadate ziache zitajiupdate automatic
fanya hivyo tatizo linakwisha hivyo inaweza kutatua na tatizo lako pia