Y Yanabadilika Member Joined Feb 25, 2014 Posts 34 Reaction score 15 Nov 23, 2017 #1 Habari zenu,tafadhali mwenye kujua mahali naweza kupata pikipiki hizi za kuchaji na bei zake pia
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 24,706 Reaction score 44,066 Nov 24, 2017 #2 Za kuchaji nini,simu? Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Fedor von Bock JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,321 Reaction score 2,157 Nov 24, 2017 #3 nicheck inbox nikutumie mkuu
W Wajad JF-Expert Member Joined Jul 20, 2012 Posts 1,321 Reaction score 604 Nov 24, 2017 #4 Charles Dotter said: nicheck inbox nikutumie mkuu Click to expand... Labda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaume
Charles Dotter said: nicheck inbox nikutumie mkuu Click to expand... Labda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaume
LuisMkinga JF-Expert Member Joined Jan 10, 2012 Posts 3,338 Reaction score 6,427 Nov 24, 2017 #5 Wajad said: Labda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaume Click to expand... ndo yale passo ni za kike hahah.. kuna mambo mengi sana tunayawaza ambayo ni hewa, ukitoa hewa za serikali
Wajad said: Labda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaume Click to expand... ndo yale passo ni za kike hahah.. kuna mambo mengi sana tunayawaza ambayo ni hewa, ukitoa hewa za serikali
Y Yanabadilika Member Joined Feb 25, 2014 Posts 34 Reaction score 15 Nov 24, 2017 Thread starter #6 Frank Wanjiru said: Za kuchaji nini,simu? Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app Click to expand... Hapana mkuu zenyew badala ya kutumia mafuta zinatumia umeme
Frank Wanjiru said: Za kuchaji nini,simu? Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app Click to expand... Hapana mkuu zenyew badala ya kutumia mafuta zinatumia umeme
gkileo JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 1,096 Reaction score 487 Nov 24, 2017 #7 Frank Wanjiru said: Za kuchaji nini,simu? Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app Click to expand... Anazo hitaji ni pikipiki maalun ambazo badala ya kua na engen zenyewe zina batery hivyo badala ya kuweka mafuta unachaji kwenye Umeme then unatembea km 50-100 then unachaji tena
Frank Wanjiru said: Za kuchaji nini,simu? Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app Click to expand... Anazo hitaji ni pikipiki maalun ambazo badala ya kua na engen zenyewe zina batery hivyo badala ya kuweka mafuta unachaji kwenye Umeme then unatembea km 50-100 then unachaji tena
Kiteitei JF-Expert Member Joined Jan 14, 2009 Posts 1,600 Reaction score 1,574 Nov 24, 2017 #8 Sipati picha unakatiza nayo mikumi halafu ghafla charge inakata!!!lazima uanze kuimbaa ...mbinguniiii kuna makaaao mazuri saaaana.....!!
Sipati picha unakatiza nayo mikumi halafu ghafla charge inakata!!!lazima uanze kuimbaa ...mbinguniiii kuna makaaao mazuri saaaana.....!!
M M2mishi JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 719 Reaction score 274 Apr 13, 2018 #9 Charles Dotter said: nicheck inbox nikutumie mkuu Click to expand... Weka hapa tunao hitaji ni wengi mkuu
Charles Dotter said: nicheck inbox nikutumie mkuu Click to expand... Weka hapa tunao hitaji ni wengi mkuu
tessmkulu Member Joined Jan 28, 2018 Posts 73 Reaction score 29 Apr 13, 2018 #10 Kiteitei said: Sipati picha unakatiza nayo mikumi halafu ghafla charge inakata!!!lazima uanze kuimbaa ...mbinguniiii kuna makaaao mazuri saaaana.....!! Click to expand...
Kiteitei said: Sipati picha unakatiza nayo mikumi halafu ghafla charge inakata!!!lazima uanze kuimbaa ...mbinguniiii kuna makaaao mazuri saaaana.....!! Click to expand...
Fedor von Bock JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,321 Reaction score 2,157 Apr 13, 2018 #11 M2mishi said: Weka hapa tunao hitaji ni wengi mkuu Click to expand... OK mkuu
M myenzialex Member Joined May 27, 2015 Posts 26 Reaction score 9 Jun 27, 2020 #12 Na Mimi naomba nijue Bei yako