Msaada: Note 5 ina tatizo la network

lau_23

Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
44
Reaction score
24
Za kutwa.
Nina shida moja..sim yangu note 5 ina tatzo la network. Yan line inaonekana inasoma bt functions za sim hazikubal(like message.kucall etc).nishapeleka kwa mafund na vodacom bt wamechemka
 
inaonekana hiyo simu imetumika huko nje ya nchi then ndo ukaja kuuziwa Tz ndo
ngoja wajuzi waje.
 
Kwenye network name kuna kipi kati ya haya... EMERGENCY CALL? au NO SERVICES?... Imei number za cmu yako zitume to 15090.. Kwenye dialer fanya hvi, *#0011# halafu ulete majibu kamili au hata images
 
Kwenye network name kuna kipi kati ya haya... EMERGENCY CALL? au NO SERVICES?... Imei number za cmu yako zitume to 15090.. Kwenye dialer fanya hvi, *#0011# halafu ulete majibu kamili au hata images
Inaandika (searching)
 
Kwenye network name kuna kipi kati ya haya... EMERGENCY CALL? au NO SERVICES?... Imei number za cmu yako zitume to 15090.. Kwenye dialer fanya hvi, *#0011# halafu ulete majibu kamili au hata images
 
Fungua setings kisha tafuta mobile networks halafu tafuta network mode kisha weka gsm only halafu search network manually
 
Fungua setings kisha tafuta mobile networks halafu tafuta network mode kisha weka gsm only halafu search network manually
Nishajarib sana hiyo.
 
Kwenye network name kuna kipi kati ya haya... EMERGENCY CALL? au NO SERVICES?... Imei number za cmu yako zitume to 15090.. Kwenye dialer fanya hvi, *#0011# halafu ulete majibu kamili au hata images
 
Kwa note 5 nnavyozijua inaweza isiwe hardware i.aweza ukawa software ndio shidahh hasa ikiwa sio international version
 
Vp ushajaribu kufanya hio hardreset kama bdo jaribu itakuwapoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…