Msaada: Note 3 imeingia Maji

Moudy Boka

Senior Member
Joined
Jan 14, 2012
Posts
103
Reaction score
32
Waumini naombeni msaada, simu ya wife Samsung Note 3 imezima baada ya kudondoka ndani ya ndoo ya maji. Je hii simu ndo imeshakufa au inatengenezeka? Kama inatengenezeka niende wapi kwa hapa Dar? Mwenye kujua anipe ushauri maana muda si mrefu nitatakiwa kununua nyingine.
 

polee lkn uliza kwenye forum ya tech., gadgets and science utapata ufumbuzi mziri zaidi ama wapi pakuelekea
 

Nenda mtaa Libya, karibu na Auto lover kuna kona inakwenda Zahir Restaurant ukikata tu hiyo kona uliza kwa Muna.

Ni muhindi huyu na ni mkweli sana yangu ilishadumbukia kwenye maji ikazima nikampelekea nikaiacha niriporudi nikaikuta imewaka kuuliza bei akaniambia amenifanyia feva tu kwa sababu yeye ameisafisha tu na dawa, kwahiyo nilipata huduma ya bure.

Nenda hapo utanikumbuka.
 

Ahsante kaka kwa ushauri nitaenda nikajaribu
 
Kaka toa batter na uiweke sehemu yenye joto dogo mpaka kesho,then weka batter,kama imegoma let me know.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…