Nenda mtaa Libya, karibu na Auto lover kuna kona inakwenda Zahir Restaurant ukikata tu hiyo kona uliza kwa Muna.
Ni muhindi huyu na ni mkweli sana yangu ilishadumbukia kwenye maji ikazima nikampelekea nikaiacha niriporudi nikaikuta imewaka kuuliza bei akaniambia amenifanyia feva tu kwa sababu yeye ameisafisha tu na dawa, kwahiyo nilipata huduma ya bure.
Nenda hapo utanikumbuka.