Habari zenu wana JF,
Umri wangu wa sasa ni miaka 19:
Baada ya kufanya mtihani wa Taifa mwaka 2014 kwa mfumo wa GPA nikapata PASS ya 0.6 yaani
Mathematics F
English D
Geography F
Civics E
Biology D
Kiswahili C
History D.
Je mnanishauri nirudi shule au niendelee kukaa nyumbani?.
Kama unanishauri nirudi shule nirudie kidato cha ngapi?